Desire ajikuta katika njiapanda

Desire Luzinda

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Dezire Luzinda ameinga katika mtihani hasa baada ya tamasha lake kubwa la Black and White Affair alilopanga kulifanya mwezi wa 6, kukosa madhamini yoyote mpaka sasa na kumpatia changamoto ya kugharamia onyesho hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS