Jaguar arudisha shukrani kwa Wafungwa
Staa wa muziki kutoka nchini Kenya, Jaguar kwa jina maarufu, kwa mara nyingine ameonyesha moyo wake upendo kwa kuamua kurudisha shukurani katika gereza la Industrial Area huko Kenya, mahali ambapo alifanya sehemu ya video ya ngoma yake ya 'kioo'.