Bobi Wine katika uchunguzi wa mali

Bobi Wine

Msanii wa muziki Bobi Wine kutoka nchini Uganda, anachunguzwa na polisi juu ya uhalali wa umiliki wa gari aina ya Toyota Tundra ambayo iliingizwa nchini humo na Chama Cha Msalaba Mwekundu, gari ambayo imekuwa ikifuatiliwa na mamlaka ya mapato Uganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS