Bilal ataka udhibiti wa silaha haramu

Makamu wa rais wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal.

Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal amezitaka nchi za maziwa makuu na pembe ya Afrika, kuhakikisha wanatafuta suluhisho la kudhibiti kuzagaa kwa silaha haramu ndogondogo, zinazovunja amani katika nchi nyingi barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS