Arusha mwenyeji kongamano la wanahabari

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika moja ya majukumu yao ya kila siku

Katika kuelekea kwenye kilele cha siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani wadau wa tasnia ya habari nchini Tanzania wameandaa maadhimisho ya siku mbili yatakayofanyika mjini Arusha ili kuibua changamoto zinazoikumba tasnia ya habari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS