NOOIJ AONGEZA WACHEZAJI 9 STARS

kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS