Stars yachapwa 3-0 na Burundi

Nahodha wa Timu ya taifa ya Burundi ambaye pia anaichezea klabu ya Yanga ya DSM, Didier kavumbagu

Didier Kavumbagu, Amis Tambwe na Yusuph Ndikumana wameiongoza timu ya Taifa ya Burundi 'Intamba Mu Rugamba' kuifunga Taifa Stars katika mchezo wa maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano uliopigwa leo jijini DSM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS