Waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi Dkt Titus kamani
Waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi Dkt Titus kamani amewata wananchi wa mikoa ya kaskazini kuwafichua wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa za mifugo na vyakula kwa njia za panya kutokna nje ya Tanzania.