Rais Kikwete akabidhi vitabu kwa JWTZ

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete

Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma, katika Ikulu ya Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS