Watu 6 wafariki dunia kwa kula samaki Kasa Baadhi ya wavuvi katika Bahari ya Hindi maeneo ya pangani mkoani Tanga Takriban watu 6 akiwemo mtoto mmoja wameripotiwa kufa Wilayani Pangani mkoani Tanga kwa kula Samaki aina ya Kasa. Read more about Watu 6 wafariki dunia kwa kula samaki Kasa