Rais Kikwete akabidhi vitabu kwa JWTZ Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma, katika Ikulu ya Dar es Salaam. Read more about Rais Kikwete akabidhi vitabu kwa JWTZ