Baraza la vyama vya siasa kujadili katiba mpya

Mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Peter Kuga Mziray

Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania limesema kwamba linakusudia kukutana hivi karibuni kujaribu kuwashawishi wafuasi wa kambi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea katika bunge maalumu la Katiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS