Kikapu Dar yatamba kutesa "Intercity"

Uwanja wa ndani wa Taifa utakaotumika kwa kwa miachuano ya Intercity"

Kocha mkuu wa timu ya mpira wa kikapu ya jiji la Dar es Salaam inayojiandaa na michuano ya majiji kwa nchi za Afirika Mashariki na Kati (Intercity) Kablolah Shomari 'KB' amesema kuwa timu yake ipo tayari kwa michuano hiyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS