Badi ya ligi yaridhishwa na ushindani

moja kati ya michezo ya ligi kuu Tanzania bara

Bodi ya ligi ya soka nchini Tanzania (TPLB) imesema kuwa imeridhishwa na ushindani uliojitokeza katika ligi kuu Tanzania Bara (VPL) na ligi daraja la kwanza (FDL) ambazo zimemalizika hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS