Rais Kikwete akabidhi vitabu kwa JWTZ

Rais Kikwete akikabidhi vitabu kwa jeshi la wananchi wa Tanzania Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS