Afisa habari wa Shirika la viwango Tanzania - TBS Bi. Roida Andusamile (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni.
Wajasiriamali nchini Tanzania wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeza nakuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS).