Baadhi ya wafanyabiashara mkoani Mwanza wakiwa wamebeba bango wakati wa vurugu za wafanyabiashara hao hivi karibuni.
Uongozi wa Halmashauri Mkoani Mwanza umetakiwa kuwaondoa mapema wafanyabiashara wadogo wanaopanga biashara sehemu zisizoruhusiwa kabla hakujatokea athari.