Tunu Pinda ataka gharama tiba ya saratani zipungue
Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda, ameziomba taasisi zinazojishughulusha na matibabu dhidi ya magonjwa ya saratani kuangalia uwezekano wa kupunguza gharama za matibabu hayo kwa wagonjwa wasio na uwezo.