Super Nyamwela afiwa na baba Mwimbaji na dansa Super Nyamwela Mwimbaji na dansa wa bendi ya muziki ya Extra Bongo, Super Nyamwela amepatwa na msiba kwa kufiwa na baba yake mzazi Mzee Mussa Mohamedy aliyefariki dunia leo alfajiri nyumbani kwake Namasakata, Tunduru mkoani Ruvuma. Read more about Super Nyamwela afiwa na baba