NEC kuboresha daftari la wapiga kura

Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi chini Tanzania (NEC) jaji mstaafu Damian Lubuva.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi itafanya maboresho ya daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia tekinolojia ya kisasa ya Biometric Voters Register (BVR) ambapo kila mwenye kadi ya kupigia kura au aliyetimiza umri wa kupiga kura ataandikishwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS