Kikwete aendelea kutimiza ahadi zake kwa wananchi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete. Raisi Jakaya Kikwete ameendelea kutekeleza ahadi zake ambapo leo umoja wa waendesha bodaboda jijini Arusha umekabidhiwa pikipiki kumi. Read more about Kikwete aendelea kutimiza ahadi zake kwa wananchi