Amani apambana kupunguza unene

Msanii wa nchini Kenya Amani

Mkongwe kutoka sanaa ya muziki nchini Kenya, msanii Amani ameweka wazi kuwa yupo katika ratiba kali ya mazoezi katika kupambana na uzito mkubwa ambao uliongezeka mwilini kwake hususan katika kipindi cha mwisho wa mwaka uliopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS