THA yaanza kunoa wanafunzi

Baadhi ya wachezaji wa mpira wa magongo wakipambana

Chama cha mpira wa magongo Tanzania THA hii leo kimeanza kutoa mafunzo katika shule ya sekondari ya makongo ya jijini Dar es salaam ukiwa ni mpango mkakati wa chama hicho katika kuhakikisha mchezo huo unakua na kuenea kote nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS