"UMITASHUMTA ni muhimu kwa watoto"

Baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi DSM wakiwa katika mashindano viwanja vya Chuo Kikuu

Wazazi nchini Tanzania wameashauriwa kutowazuia watoto wao kushiriki katika michezo mbal mbali ikiwemo ile ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi UMITASHUMTA kwa lengo la kuinua vipaji vya michezo kwa watoto hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS