Migogoro ya ardhi kushughulikiwa na mahakama

Waziri wa katiba na sheria nchini Tanzania Dkt Asha-Rose Migiro.

Tume ya kurekebisha sheria nchini Tanzania, imekabidhi serikalini mapendekezo ya marekebisho ya sheria iliyounda mabaraza ya ardhi ya wilaya na mikoa ili mamlaka ya mabaraza hayo yahamie katika mfumo wa kawaida wa kisheria ambao ni mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS