Bulembo ataka shule zikate bima ya moto
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa, Abdallah Bulembo ameagiza shule zote zinazomilikiwa na jumuiya hiyo nchini Tanzania kukata bima ya moto kwa lengo la kuchukua tahadhari ya majanga ya moto sambamba na kuwa na uhakika wa kupata fidia ya mali.