Wanaume wawe chachu ya maendeleo kwa wake zao

Mke wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Salma Kikwete.

Mke wa Rais wa Tanzania Mama Salma Kikwete amewataka wanaume kutokuwa kikwazo pale wanawake wanapotaka kujiunga na vikundi vidogo vya kuweka na kukopa kwa kuwa fedha hizo zitaweza kusaidia familia na kumuondosha mwanamke katika uchumi tegemezi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS