Wasafirishaji wakorofi kufikishwa mahakamani

Afisa Mfawidhi wa sumatra kanda ya mashariki, Conrad Shio, akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari. Kulia kwake ni mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, Kamanda Mohammed Mpinga.

Mamlaka ya usafiri na majini nchini Tanzania Sumatra, kanda ya mashariki, imesema kuwa kuanzia sasa madereva wa vyombo vyote vinavyokiuka taratibu za usafiri watafikishwa katika vyombo vya dola kwa hatua zaidi za kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS