Wasafirishaji wakorofi kufikishwa mahakamani
Mamlaka ya usafiri na majini nchini Tanzania Sumatra, kanda ya mashariki, imesema kuwa kuanzia sasa madereva wa vyombo vyote vinavyokiuka taratibu za usafiri watafikishwa katika vyombo vya dola kwa hatua zaidi za kisheria.