CAG kutatua utata wa fedha za Escrow - Mwigulu

Naibu waziri wa fedha na uchumi Mwigulu Nchemba.

Naibu Waziri wa Fedha na uchumi Mwigulu Nchemba amefafanua kuhusu sakata la fedha katika akaunti ya Escrow ambapo amewataka Watanzania wasubiri ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG, ripoti ambayo amesema itaeleza ukweli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS