Katibu Mkuu wa FIFA kutua Tanzania Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka duniani (FIFA), Jerome Valcke. Semina ya mawasiliano ya CECAFA inatarai kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa FIFA Jerome Valcke, ambaye atawasili nchini kesho Mei 1, 2014 Read more about Katibu Mkuu wa FIFA kutua Tanzania