Rais Kikwete Alilia waliokufa Ajalini Singida
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida, kufuatia vifo vya watu 19 vilivyotokana na ajali ya barabarani iliyosababishwa na katika Barabara kuu ya Singida - Dodoma.