Serengeti Boys kuwavaa Wasauzi AFCON U17

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 cha Tanzania - Serengeti Boys.

Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Afrika Kusini (Amajimbos) itachezwa Julai 18 mwaka huu katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini DSM

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS