Serengeti Boys kuwavaa Wasauzi AFCON U17
Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Afrika Kusini (Amajimbos) itachezwa Julai 18 mwaka huu katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini DSM

