viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA. Kutoka kushoto ni Freeman Mbowe wa Chadema, Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF na James Mbatia wa NCCR Mageuzi
Mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano utafanyika leo katika viwanja vya Kibandamaiti, Unguja baada ya kupata ruhusa ya polisi.