Wangechi, Xstatic waitakatisha Kenya

Wasanii wa Kenya wakipaform nchini Uingereza

Wasanii wa muziki wa nchini Kenya, Wangechi, Xstatic, Fena Kitu pamoja na mtayarishaji muziki mahiri Kevin Provoke wameshiriki katika mkutano mkubwa wa siku nne wa jitihada za kupambana na ukatili wa kijinsia duniani, uliofanyika huko London.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS