Lil Seven asaka kolabo
Mtunzi wa muziki na msanii wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Tanzania Lil Seven ambaye hivi sasa anafanya vyema na kichupa chake kilichobatizwa jina 'Misosi Mitamu' ameelezea kuwa anajiandaa kufanya kolabo zaidi na wasanii nchini.

.jpg?itok=71JtS2XP)