Lil Seven asaka kolabo

Msanii wa bongo fleva Lil Seven

Mtunzi wa muziki na msanii wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Tanzania Lil Seven ambaye hivi sasa anafanya vyema na kichupa chake kilichobatizwa jina 'Misosi Mitamu' ameelezea kuwa anajiandaa kufanya kolabo zaidi na wasanii nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS