Serikali kushughulikia matatizo ya watumishi

Waziri wa nchi ofis ya rais anayeshughulikia Utumishi, Bi. Celina Kombani

Serikali ya Tanzania imeahidi kudhibiti upungufu unaosababisha watumishi wengi wa serikali kutopewa mishahara na stahiki zao mara wanapopanda daraja na kupandishwa vyeo na kulazimishwa kukubali cheo kabla ya kupanda kwa mshahara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS