Wananchi kataeni rushwa - Mkuchika

Waziri wa nchi, ofisi ya rais - utawala bora George Mkuchika.

Serikali ya Tanzania imewataka wananchi kuwafichua watumishi wa umma wanaoshiriki katika vitendo vya kuomba na kupokea rushwa mara wananchi wanapokwenda kupata huduma katika taasisi za umma nchini hususani za elimu na afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS