Naibu waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu TAMISEMI Kassim Majaliwa
Serikali ya Tanzania imesema kuwa sekta ya elimu ni mojawapo ya sekta sita zilizohusishwa katika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN), ikifuatiwa na Maji, Nishati, Fedha, Kilimo na Usafirishaji.