Kidumu ajiandalia tamasha Kigali Msanii wa nchini Burundi anayeishi Kenya Jean Pierre Nimbona a.k.a Kidumu anatarajia kukonga nyoyo za mashabiki katika tamasha la muziki litakalofanyika tarehe 11 mwezi huu Jijini Kigali nchini Rwanda. Read more about Kidumu ajiandalia tamasha Kigali