Mhe. Mdee atulia Kikaangoni Live leo
Mwanasiasa Mhe. Halima Mdee ambaye ni mbunge wa Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, leo hii ameshiriki katika kipengele cha Kikaangoni Live cha ukurasa wetu wa facebook, ambapo wapenzi wa ukurasa huu wameweza kumuuliza moja kwa moja maswali.