Kidumu ajiandalia tamasha Kigali

Msanii wa nchini Burundi anayeishi Kenya Jean Pierre Nimbona a.k.a Kidumu anatarajia kukonga nyoyo za mashabiki katika tamasha la muziki litakalofanyika tarehe 11 mwezi huu Jijini Kigali nchini Rwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS