Katibu mtendaji wa baraza la mitihani nchini Tanzania (hNECTA) Dkt Charles Msonde.
Baraza la Mitihani Tanzania limesema kuwa upangaji wa shule katika makundi ya ubora wa ufaulu umelenga kuimarisha ubora wa elimu na kuongeza kiwango cha Elimu katika shule za msingi na sekondari.