Tanzania kuimarisha ulinzi wa mali na raia

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na vyombo vya usalama vya kimataifa imeahidi kuhakikisha usalama wa raia na mali zao ikiwa ni pamoja na kutambua vyanzo vya matukio ya kihalifu na mipango ya kihalifu kabla haijatekelezwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS