Ben Pol: Soko la muziki mtandaoni bado dogo Bongo
Tanzania R&B One, Ben Pol akiwa kama moja ya wasanii wa awali kabisa hapa Bongo, kuingiza muziki wake katika soko la kisasa la mtandao, amesema kuwa ana imani kuwa katika siku zijazo kibongo bongo soko la muziki litaweza kuchangamka zaidi

