Maandalizi Stars Vs Flames yakamilika Afisa Habari wa TFF, Boniface Wambura Timu ya Taifa ya Malawi (Flames) imewasili jijini Mbeya tayari kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumapili (Mei 4 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine. Read more about Maandalizi Stars Vs Flames yakamilika