K-Denk akiri alipotoka kuasi

K-Dent

Msanii wa muziki kutoka Sudan Kusini, K-Denk ambaye alijipatia umaarufu kupitia mashindano ya Tusker Project Fame, amewaomba msamaha mashabiki wake kutokana na hatua yake ya kujihusisha katika maswala ya uasi ya nchini kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS