Davido ampiku tena Diamond

Msanii Diamond wa nchini Tanzania

Msanii Diamond Platnumz, amewataka mashabiki wake kufahamu kuwa mapambano ndio yanaanza sasa katika safari yake ya muziki, baada ya kumalizika kwa tuzo za BET alizokuwa akiwania katika kipengele cha msanii bora wa kimataifa kutoka Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS