Watatu Judo - Madola - waachwa safari ya Glasgow.

Wachezaji watatu wa judo kwenye timu ya madola waachwa.

Mkuu wa msafara bwana Mwarami Mchume amesema kuachwa kwa wanamichezo hao kumetokana na tatizo la kiufundi llilitokea kwa waandaaji huko Scotland, lakini TOC inalifanyia kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS