Dar kuwa na hospitali maalumu kwa wajawazito

Kaimu mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Ilala Raymond Mushi.

Uongozi wa jiji la Dar es Salam umesema uko mbioni kujenga hospitali ya wazazi itakayoweza kuwahudumia wakazi wa wilaya za Kinondoni, Ilala na Temeke kwa pamoja ili kuepukana vifo vinavyotokana na upungufu wa vituo vya kutolea huduma za uzazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS