Sakata tozo ya Dowans: Mambo magumu kwa LHRC

Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Dkt Hellen Kijo-Bisimba.

Msajili wa mahakama kuu nchini Tanzania ametupilia mbali ombi la kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC kutaka tozo ya shilingi bilioni 2.8 iliyotolewa na kampuni ya kufua umeme ya Dowans dhidi yao isisajiliwe kwa madai ya kuwa kinyume na sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS