COSTECH yapunguza tatizo la ajira kwa vijana

Mkurugenzi wa tume ya taifa ya sayansi na teknolojia Dkt Hassan Mshinda.

Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania COSTECH inatekeleza miradi kadhaa inayolenga kupunguza kiwango cha umaskini na tatizo la ajira kwa vijana, hususani wale wanaohitimu katika fani za Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS