Wadau waombwa kuudhamini mchezo wa kuogelea
Serikali na wadau mbalimbali wa michezo nchini Tanzania wametakiwa kujitokeza na kuudhamini mchezo wa kuogelea ambao umeonekana kutopewa kipaombele licha ya kuwepo kwa wachezaji na makocha wazuri wa mchezo huo hapa nchini.
