Wosia wa PLO Lumumba kwa Bunge Maalumu la Katiba

Mkuu wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, mwanaharakati Profesa PLO Lumumba.

Mwanaharakati wa Kimataifa, raia wa Kenya Profesa PLO Lumumba amewaomba wajumbe wa bunge maalumu la katiba kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA kurejea bungeni na kuendelea na mchakato wa katiba mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS