Serengeti Boys yaahidi kuwazima Wasauzi kesho

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys.

Kocha Serengeti Boys asema “Tunaiheshimu Afrika Kusini, lakini hatuiogopi. Morali ya wachezaji ipo juu na wanajiamini. Kimsingi wanajua kuwa hii ndiyo njia ya wao kutokea kwenye mpira wa miguu, kwa hiyo lengo ni kushinda mchezo wa kesho,”

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS