Serengeti Boys yazidi kuboreshwa Kikosi cha Serenget Boys Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) Hababuu Ali Omari amefanya mchujo wa wachezaji wanaojiandaa kwa mechi ya mashindano dhidi ya Afrika Kusini (Amajimbos). Read more about Serengeti Boys yazidi kuboreshwa