CCM yawaonya wanaotangaza nia ya kuwania urais

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama tawala nchini Tanzania CCM, Nape Nnauye.

Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania CCM imewatahadharisha wanachama wake walioonesha nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kuwa wanaweza wakapoteza sifa za kugombea nafasi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS