Matokeo kidato cha 6 yatangazwa Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 uliofanyika Mei 5 - 21, 2014 yametangazwa leo na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III. Read more about Matokeo kidato cha 6 yatangazwa