Mafanikio yetu katika AU ni haya – Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameelezea mambo makubwa saba ambayo Tanzania imeyasimamia kwa kusaidiana na nchi nyingine ama kuyaongoza katika miaka 10 wakati yeye alipokuwa Rais.

