Jezi mpya za Taifa Stars zilizozinduliwa leo kutoka kushoto ni Jezi ya mazoezi, Jezi ya nyumbani na jezi ya ugenini
Viongozi wa soka nchini wametakiwa kujitahidi, kujitambua na kuwa makini katika suala zima la kuwandaa vijana wenye vipaji vya soka ili kuweza kukuza soka hapa nchini.