Waziri mkuu aunda kamati kushughulikia usafiri Waziri mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Waandishi wa Hbari hawapo Pichani. Waziri Mkuu Peter Pinda ameunda kamati maalumu ya kudumu ya kusimamia Usafiri wa barabarani nchini ili kutatua changamoto zinazoikabali sekta ya Usafiri. Read more about Waziri mkuu aunda kamati kushughulikia usafiri