Waziri mkuu aunda kamati kushughulikia usafiri

Waziri mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Waandishi wa Hbari hawapo Pichani.

Waziri Mkuu Peter Pinda ameunda kamati maalumu ya kudumu ya kusimamia Usafiri wa barabarani nchini ili kutatua changamoto zinazoikabali sekta ya Usafiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS