Moto tena Tanzania na Kenya- wanafunzi warudishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimsabahi rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

Zaidi ya watoto 40 wanaosoma shule za msingi mpakani na Tanzania eneo la Naroki nchini Kenya, wamerudishwa nchini na wamehifadhiwa kwa muda katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Loliondo Wilayani Ngorongoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS