Yanga yatupwa nje na watunisia michuano ya Afrika
Ukisikia usemi wa ng'ombe wa masikini hazai unaweza ukakubali hii ni baada ya soka la Tanzania kushuhudia timu pekee iliyosalia katika michuano ya vilabu barani Afrika Yanga nayo ikiaga michuano hiyo baada ya kufungwa bao 1-0 na Etoile du Sahel