Hatimaye Shilole asamehewa

msanii wa muziki wa bongofleva nchini Shilole

Staa wa Shilole baada ya sakata lake la kusambaa kwa picha zinazoonesha sehemu ya maungo yake ya siri hadharani akiwa katika onesho huko Ubeligiji, hatimaye amejisalimisha BASATA kujieleza na kusamehewa rasmi kwa kosa alilofanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS