Wabunge wauaga mwili wa Mwaiposa Dodoma Waziri mkuu wa Tanzania Mh Mizengo Pinda leo amewaongoza wabunge wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Ukonga jijini Dare s salaam Marehem Eugen Mwaiposa. Read more about Wabunge wauaga mwili wa Mwaiposa Dodoma