Wanafunzi 89 kizuizini kwa maandamano Iringa

Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani A. Mungi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Makuu ya Jeshi la Polisi Iringa.

Jeshi la polisi mkoani Iringa limelazimika kutumia nguvu kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Rucu baada ya kutaka kufanya maandamano na kusababisha vurugu chuoni hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS