Wavu Dodoma yazidi kuwa na changamoto kiushindani
Katibu wa chama cha mpira wa wavu mkoani Dodoma DOREVA, Said Kamsumbile amesema michuano ya wavu klabu Bingwa ya mkoa inayoendelea mkoani humo imekuwa na changamoto kubwa za kiushindani kutokana na kila timu kuhitaji ushindi katika mashindano hayo.